May 31, 2021
KAFYU YAONGEZWA SIKU SITINI ZAIDI
May 30, 2021
JAMII ZA WAFUGAJI ZATAKIWA KUKOMESHA VITA
Aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya uwiano na utangamano Francis Ole Kaparo amewarai viongozi kutoka jamii za wafugaji kutafuta njia za kusuluhisha migogori iliyodumu kwa muda mrefu baina yao.
Kaparo aliyaongea hayo alipokutana na viongozi kutoka jamii zinazozozana mara kwa mara za pokot na Samburu.Aliwasihi viongozi wa jamii hizo kutafuta suluhisho la kudumu ambalo litasaidia kumaliza mashambulizi ya kulipiza kisasi na wizi wa mifugo miongoni mwao.
Aidha mwenyekiti huyo wa zamani wa NCIC alionyesha kusikitishwa kwake na jamii hizo mbili ambazo zimekuwa zikijuhusisha na mashambulizi ya kulipiza kisasi yanayosababisha wizi wa mifugo.
Vile vile aliwashtumu baadhi ya viongozi wa jamii za wafugaji na wasomi kutoka kaunti za Laikipi, Samburu,Isiolo na Baringo kwa kushindwa kumaliza migogoro hiyo inayoendelea kuongezeka na ambayo imesababisha vifo katika jamii.
May 29, 2021
RAIS WA BURUNDI KUZURU KENYA
WAHALIFU WAKAMATWA KIAMBU
HIVI PUNDE
Ghasia zatanda kwenye mkutano wa UDA Mombasa
Hali purukushani imeshuhudiwa Leo wakati wa mkutano wa wajumbe wa Chama Cha UDA kwenye kaunti ya Mombasa baada ya wafuasi wa mbunge wa EALA...
-
NA NYOTA SULEIMAN MOHAMED Viongozi mbalimbali wamekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kujiandikisha kama wapiga kura kabla la zoezi k...
-
Aliyekuwa Mwaniaji wa Kiti cha ugavana kaunti ya Mombasa Suleiman Shahbal amekihama chama cha Jubilee na kuregea katika chama Cha ODM huku u...
-
Na Nyota Suleiman MADEREVA wa Tuk Tuk katika kaunti ya Mombasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya Car General Kuzindua rasm...