MICHEZO

 Manchester City wamethibitisha kuwa beki wao Joao Cancelo saini mkataba mpya, utakaomfanya kusalia Etihad hadi mwaka 2027.Mkataba wake wa awali ulikuwa unamalizika 2025 lakini City walikuwa na nia ya kumpa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno mkataba ulioboreshwa zaidi kama zawadi kutokana na ubora wake, ambao umemfanya kuibuka kuwa mmoja ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Soka nchini Uingereza.

HIVI PUNDE

Ghasia zatanda kwenye mkutano wa UDA Mombasa

Hali purukushani imeshuhudiwa Leo wakati wa mkutano wa wajumbe wa Chama Cha UDA kwenye kaunti ya Mombasa baada ya wafuasi wa  mbunge wa EALA...