Manchester City wamethibitisha kuwa beki wao Joao Cancelo saini mkataba mpya, utakaomfanya kusalia Etihad hadi mwaka 2027.Mkataba wake wa awali ulikuwa unamalizika 2025 lakini City walikuwa na nia ya kumpa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno mkataba ulioboreshwa zaidi kama zawadi kutokana na ubora wake, ambao umemfanya kuibuka kuwa mmoja ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Soka nchini Uingereza.
Subscribe to:
Comments (Atom)
HIVI PUNDE
Ghasia zatanda kwenye mkutano wa UDA Mombasa
Hali purukushani imeshuhudiwa Leo wakati wa mkutano wa wajumbe wa Chama Cha UDA kwenye kaunti ya Mombasa baada ya wafuasi wa mbunge wa EALA...
-
NA NYOTA SULEIMAN MOHAMED Viongozi mbalimbali wamekuwa mstari wa mbele kuwahimiza wananchi kujiandikisha kama wapiga kura kabla la zoezi k...
-
Aliyekuwa Mwaniaji wa Kiti cha ugavana kaunti ya Mombasa Suleiman Shahbal amekihama chama cha Jubilee na kuregea katika chama Cha ODM huku u...
-
Na Nyota Suleiman MADEREVA wa Tuk Tuk katika kaunti ya Mombasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya Car General Kuzindua rasm...