Jun 1, 2021

VIONGOZI WATAKA UJENZI WA BANDARI YA SAMAKI YA SHIMONI UENDELEZWE

Serikali imehimizwa kuutafakari upya na kuufufua ujenzi wa bandari  ya samaki uliyosimama katika eneo la Shimoni kaunti ya Kwale. 

Viongozi kutoka ukanda wa pwani wanaitaka serikali ya kutaifa kuja na ari mpya na kuukamilisha ukarabati wa bandari hiyo ambayo wanasema itapiga jeki na kuinua sekta ya uvuvi eneo hilo.
 
Ujenzi wa bandari hiyo ni sehemu ya mikakati ya serikali ya kitaifa kuendeleza na kupanua uchumi wa baharini. 
Bandari hiyo aidha inatarajiwa kuwa na athari chanya katika sekta ya biashara na ukuaji wa uchumi kiujumla. 

HIVI PUNDE

Ghasia zatanda kwenye mkutano wa UDA Mombasa

Hali purukushani imeshuhudiwa Leo wakati wa mkutano wa wajumbe wa Chama Cha UDA kwenye kaunti ya Mombasa baada ya wafuasi wa  mbunge wa EALA...